BIBLIA ISEMAVYO KUHUSU UTATU NA DR MWALUSAMBO

Utatu wa Mungu ni moja ya mafundisho yenye utata mkubwa sana katika Biblia, ingawa ni fundisho maarufu sana katika madhehebu mbalimbali. Neno „Utatu‟ halipatikani katika Biblia, bali ni neno lililoumbika kifikira tu (imagination). Kutokana na kukosekana kwa maandiko yanayozungumzia utatu wa Mungu moja kwa moja, fundisho hili limekuwa na maswali mengi sana yasiyo na majibu. Biblia inamwelezea Mungu kwa majina matatu, yaani Baba, Mwana au Yesu Kristo na Roho Mtakatifu; majina haya matatu yanajulikana kama „nafsi‟ tatu katika Mungu mmoja; na hiki ndicho chanzo cha utata wa somo hili.

Jambo kubwa la kuzingatia ni hili: Biblia nzima ina umoja wa ajabu sana usioweza kuvunjwa na mwanadamu; yeyote anayejaribu kufanya hivyo, kamwe hawezi kupata maana halisi ya makusudi ya Mungu katika kitabu hiki, yaani Biblia. Ili kuipata maana halisi iliyokusudiwa na Agano la kale, msomaji anapaswa kulinganisha na Agano jipya; kadhalika, ili kupata maana halisi iliyofichwa katika Agano jipya, msomaji anapaswa kulinganisha na Agano la kale. Hii ni kanuni muhimu sana kwa kila msomaji yeyote anayetaka kuielewa Biblia na umoja wake usioweza kutenganishwa kamwe.

Kuna mafundisho mbalimbali ndani ya makanisa ambayo yamerithiwa kutoka kwa waasisi wa madhehebu, yaliyojengwa bila kuzingatia kanuni ya umoja wa Biblia ambayo ina umoja wake unaokubaliana, na majibu yake yasiyopingana; iwe ni Agano la kale, au Agano jipya. Lakini sasa mambo yamekuwa tofauti kabisa! Kuna maswali mengi ambayo yanaonekana kuwa hayana majibu ingawa si kweli. Hii inatokana na kwamba kanuni za Biblia zinavunjwa, na kupata majibu yanayotokana na hisia za wanadamu tu, na wala si kutoka katika Biblia.

Swali la kwanza linalojitokeza kuhusiana na utatu wa Mungu ni hili: “Ikiwa kuna nafsi tatu katika Mungu mmoja, kwa nini isijulikane kuwa ni miungu watatu?”

Kwa Maswali au Ushauri Wasiliana nasi kwa:

+255 754 041 599, +255 766 635 382

Email: info@mwalusambo.or.tz

Axact

Axact

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

Post A Comment:

1 comments:

  1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta